Serikali imetangaza kufunga kwa muda uwanja wa Benjamin Mkapa ili kupisha marekebisho katika eneo la kuchezea 'pitch'
Uwanja huo awali ulifungwa kwa ajili ya ukarabati wa eneo hilo na kufunguliwa baada ya CAF kujiridhisha na marekebisho yaliyofanyika, Simba ikiruhusiwa kutumia katika mchezo dhidi ya Al Masry
Hata hivyo mvua iliyonyesha ni kama ilichangia hali ya uwanja huo kuwa..... download Xtra 90 App



