Azam FC na Yanga wanatarajiwa kuvaana leo Alhamisi, Aprili 10, 2025, saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex katika mchezo muhimu wa Ligi Kuu ya NBC.
Yanga, mabingwa watetezi, wanaongoza msimamo wa ligi kwa pointi 64 na wanawania kushinda ili kuendeleza mwenendo wao mzuri na kusogea karibu zaidi na..... download Xtra 90 App



