Baada ya kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC) klabu ya Simba imechupa hadi nafasi ya nne katika msimamo wa timu bora barani Afrika
Simba imefikisha alama 43 na ina nafasi ya kupanda zaidi juu kama itafika fainali na hata kubeba taji la Shirikisho
Ni timu tatu ambazo ziko juu ya Simba kwenye msimamo ambazo ni Esperance, Mamelodi Sundowns na Al..... download Xtra 90 App



