Local,Normal News,Simba

Simba yaipeleka Stellenbosch New Amaan Complex

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Apr 2025
Simba yaipeleka Stellenbosch New Amaan Complex

Klabu ya Simba itatumia uwanja wa New Amaan Complex katika mchezo wa mkondo wa kwanza nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC) dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumapili April 20, saa 10 jioni

Imeelezwa uwanja wa Benjamin Mkapa ambao mchezo huo ulipaswa kupigwa bado uko katika maboresho ya eneo la kuchezea 'pitch'

Uwanja wa Amaan ulipitishwa CAF kutumika katika mashindano ya Shirikisho hilo baada ya kufanyiwa maboresho

Eneo lake la kucheza lilifanyiwa maboresho makubwa kwa kuondoa nyasi bandia na kupanda nyasi asili

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’