Arsenal wamewasiliana na Bayern Munich kuulizia upatikanaji wa winga Kingsley Coman, mwenye umri wa miaka 28. (Sky Sports)
Eintracht Frankfurt wanataka ada ya takriban β¬100milioni (Β£86.3m) kwa mshambuliaji Hugo Ekitike, mwenye umri wa miaka 22, huku Arsenal na Tottenham wakionyesha nia ya kumsajili. (Bild - in German)
Tottenham wako tayari kuvunja rekodi yao ya usajili na kulipa..... download Xtra 90 App



