Local,Normal News,Yanga, Stand

Yanga, Stand United kufunga hesabu za nusu fainali, CRDB Cup

Joel JJ By Joel JJ
15 Apr 2025
Yanga, Stand United kufunga hesabu za nusu fainali, CRDB Cup

Klabu ya JKT Tanzania na Singida Black Stars jana ziliunga na Simba kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB baada ya kushinda mechi za robo fainali

JKT Tanzania ikiichapa Pamba Jiji mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo huku Singida Black Stars ikiichapa Kagera Sugar mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa CCM LITI

Timu hizo zimeunga na Simba ambayo juzi ilitangulia nusu fainali ikiichapa Mbeya City mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa KMC Complex

Leo Wananchi Yanga wao watashuka dimbani kumenyana na Stand United katika mchezo utakaopigwa uwanja wa KMC Complex

Kama Yanga itashinda mchezo huo, basi itatinga nusu fainali ambapo itachuana na JKT Tanzania katika mchezo ambao utapigwa dimba la KMC Complex

Singida Black Stars watachuana na Simba katika mchezo wa nusu fainali

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
48m ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE →
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE →
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE →
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE →
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE →
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE →
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE →