Klabu ya JKT Tanzania na Singida Black Stars jana ziliunga na Simba kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB baada ya kushinda mechi za robo fainali
JKT Tanzania ikiichapa Pamba Jiji mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo huku Singida Black Stars ikiichapa Kagera Sugar mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa CCM LITI





