Yanga imetinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB kibabe kwa ushindi wa mabao 8-1 dhidi Stand United
Unaweza kusema Yanga leo ilikuwa na mazoezi ya kutengeneza nafasi ya kufunga pengine Wananchi wangeweza kufunga mabao zaidi
Baada ya majeraha ya hapa na pale, Stephane Aziz Ki leo amerejea kikosini kikamilifu akifanikiwa kufunga mabao manne huku Clatous Chama akiendeleza..... download Xtra 90 App



