Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechukua hatua madhubuti katika kukabiliana na changamoto ya kujaa maji katika eneo la kuchezea la Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam
Hatua hii imekuja kufuatia tukio la Aprili 09, ambapo uwanja huo ulikumbwa na changamoto ya maji kujaa baada ya mvua kunyesha muda mfupi kabla ya mchezo wa Kombe la Shirikisho la CAF kati ya Simba SC..... download Xtra 90 App



