Local,Normal News,Yanga, Azam, Coastal, Singida

Ligi ya Muungano kuanza April 23

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Apr 2025
Ligi ya Muungano kuanza April 23

Michuano ya Ligi ya Muungano ambayo ilirejea rasmi msimu uliopita, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi April 23 visiwani Zanzibar

Kulingana na ratiba, April 23 michuano hiyo itaanza kutimua vumbi kuanzia robo fainali kwa mchezo kati ya JKU dhidi ya Singida Black Stars

April 24, Zimamoto itachuana na Coastal Union huku KMKM ikichuana na Azam Fc. Yanga itashuka dimbani Ijumaa, April 25 kumenyana na KVZ

Klabu za Yanga, Azam Fc, Coastal Union na Singida Black Stars ndizo zinazoiwakilisha Tanzania Bara huku JKU, Zimamoto, KMKM na KVZ zikiiwakilisha Zanzibar

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
46m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’