Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka hadharani ratiba ya mechi za nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB
Mabingwa watetezi Yanga watachuana na JKT Tanzania mchezo utakaopigwa uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga huku Simba ikichuana na Singida Black Stars mchezo uliopangwa kupigwa uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara
Mechi hizo zitapigwa kati ya May 16-18 2025



