Klabu ya Simba imeitangaza Jayrutty Investment Company Limited kushinda tenda ya usambazaji wa jezi za klabu ya Simba kwa kipindi cha miaka mitano
Mwenyekiti wa Kamati ya Tenda Dkt. Seif Muba amesema kampuni hiyo imeweka kiasi cha fedha Tsh. 38 Bilioni ambapo klabu ya Simba inakwenda kupata Tsh. 5.6 Bilioni kwa mwaka
Aidha katika kipindi cha miaka mitano, kampuni hiyo itaboresha..... download Xtra 90 App



