Leo, Jumamosi tarehe 19 April 2025, Afrika Kusini inakuwa mwenyeji wa mechi mbili za nusu fainali za Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo timu kutoka Afrika Kusini zitakabiliana na wapinzani kutoka Misri.
Mamelodi Sundowns wataikaribisha Al Ahly katika uwanja wa Loftus Versfeld, Pretoria. Hii ni mara nyingine timu hizi mbili zinakutana katika hatua ya mtoano, huku historia ya mechi zao..... download Xtra 90 App



