Katika kile kinachotarajiwa kuwa mchezo wa kuvutia na wenye ushindani mkali, Simba SC ya Tanzania inawakaribisha wageni kutoka Afrika Kusini, Stellenbosch FC, kwenye uwanja wa kihistoria wa New Amaan Complex kwa ajili ya mechi ya kwanza ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF (CAF Confederation Cup)
Ni mechi kubwa na muhimu kwa Simba kushinda ili kujiweka katika nafasi nzuri ya..... download Xtra 90 App



