Kuelekea mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Fountain Gate dhidi ya Yanga ambao utapigwa leo Jumatatu, April 21 katika uwanja wa Tanzanite Kwaraa Manyara, Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema wamejipanga kushinda mchezo huo ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kutetea ubingwa
Aidha Hamdi ambaye ameiongoza Yanga katika mechi 11 akishinda 10 na kutoka sare mechi moja, amesema amekiandaa..... download Xtra 90 App



