Local,Normal News,KenGold, Coastal

KenGold yatangulia Championship

Joel JJ By Joel JJ
β€’
22 Apr 2025
KenGold yatangulia Championship

Baada ya kupoteza mchezo kwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union hapo jana, klabu ya KenGold imekuwa timu ya kwanza kushuka msimu huu

Baada ya kushuka dimbani mara 27, KenGold imekusanya alama 16 tu, huku ikiwa na mechi 3 zilizosalia kuhitimisha msimu

Kama itashinda mechi zote, itafikisha alama 25 ambazo tayari klabu ya Prisons inayoshika nafasi ya 14 imezipita

Prisons ina alama 27 sawa na Pamba Jiji inayoshika nafasi ya 13 lakini ikiwa bado na mechi nne

Kagera Sugar nayo iko hatarini ikishika nafasi ya 15 na alama zake 22

Kagera Sugar itahitaji kushinda mechi zote tatu zilizosalia huku ikiomba dua baya kwa wapinzani wake wasishinde mechi zao

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
3h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
5h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
6h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
6h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’