Baada ya kupoteza mchezo kwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union hapo jana, klabu ya KenGold imekuwa timu ya kwanza kushuka msimu huu
Baada ya kushuka dimbani mara 27, KenGold imekusanya alama 16 tu, huku ikiwa na mechi 3 zilizosalia kuhitimisha msimu
Kama itashinda mechi zote, itafikisha alama 25 ambazo tayari klabu ya Prisons inayoshika nafasi ya 14..... download Xtra 90 App



