Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amewapongeza wachezaji wake kwa kufanikiwa kutinga fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC) baada ya matokeo ya suluhu ya bila kufungana dhidi ya Stellenbosch katika mchezo wa nusu fainali mkondo wa pili uliopigwa uwanja wa Moses Mabhida Jumapili jioni
Simba ilitinga fainali kwa ushindi wa jumla wa bao 1-0 kufuatia matokeo ya ushindi hao katika mchezo wa..... download Xtra 90 App



