Local,Normal News,Yanga, Zimamoto

Yanga mikononi mwa Zimamoto nusu fainali Ligi ya Muungano

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Apr 2025
Yanga mikononi mwa Zimamoto nusu fainali Ligi ya Muungano

Jana kigogo mwingine kutoka Tanzania Bara Azam Fc aliaga michuano ya ligi ya Muungano akikubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa JKU katika mchezo wa nusu fainali

Kipigo hicho kimezfanya timu tatu kutoka Tanzania Bara Singida BS, Coastal Union na Azam Fc kuaga michuano hiyo inayofanyika Gombani, Pemba

Yanga ndio timu pekee iliyobaki kutoka Bara na leo itashuka dimba la Gombani kumenyana na Zimamoto katika mchezo wa pili wa nusu fainali utakaopigwa sa 1:15 usiku

JKU ambayo iliziondoa Singida BS na Azam Fc, tayari imetinga fainali ikisubiri mshindi wa mchezo wa leo kuelekea mechi fainali

Je Yanga itafanikiwa kwenda fainali leo au itaungana na wawakilishi wengine wa Bara kuaga michuano hiyo mapema?

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
4h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
4h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
4h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
8h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
11h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
12h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
12h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
13h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
14h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
15h ago
READ MORE β†’