Jana kigogo mwingine kutoka Tanzania Bara Azam Fc aliaga michuano ya ligi ya Muungano akikubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa JKU katika mchezo wa nusu fainali
Kipigo hicho kimezfanya timu tatu kutoka Tanzania Bara Singida BS, Coastal Union na Azam Fc kuaga michuano hiyo inayofanyika Gombani, Pemba
Yanga ndio timu pekee iliyobaki kutoka Bara na leo itashuka dimba la Gombani..... download Xtra 90 App



