Kocha Msaidizi wa Simba Selemani Matola amesema timu iko tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Mashujaa Fc ambao utapigwa kesho Ijumaa, May 02 katika uwanja wa KMC Complex
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari mapema leo, Matola alisema wanatambua kila mchezo uliobaki kwenye ligi una umuhimu mkubwa katika kutimizamalengo ya msimu huu
Hivyo wanauchukulia mchezo huo kama fainali..... download Xtra 90 App



