Local,Normal News,Yanga, JKU

Yanga yabeba kombe la Muungano

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 May 2025
Yanga yabeba kombe la Muungano

Yanga imefanikiwa kunyakua taji la Muungano baada ya kuichapa JKU bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanja wa Gombani, Pemba

Bao pekee la Yanga katika mchezo huo lilifungwa na Maxi Nzengeli katika kipindi cha kwanza akimalizia pasi murua kutoka kwa Farid Mussa

Ni rekodi kwa Yanga kushinda taji hilo kwa mara ya saba tangu kuanzishwa kwake mwaka 1982

Kiungo Mudathir Yahya ameibuka mchezaji bora wa michuano hiyo huku Maxi Nzengeli akiibuka mchezaji bora mchezo wa fainali huku pia akiibuka mfungaji bora wa mashindano

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
46m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’