Local,Normal News,Yanga, Simba

CAS yatupa rufaa ya Yanga, yarejesha kesi TFF

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 May 2025
CAS yatupa rufaa ya Yanga, yarejesha kesi TFF

Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa michezo (CAS) imelitupilia mbali shauri lililofunguliwa na Yanga dhidi ya TFF na Bodi ya Ligi baada ya kuahirishwa mechi namba 184 dhidi ya Simba iliyopaswa kupigwa March 08 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

CAS imeitaka Yanga kuhakikisha inakamilisha taratibu zote za rufaa katika mamlaka za ndani

Kulingana na taarifa ya CAS, Yanga walipaswa kufungua madai yao TFF na kama wasingeridhika na maamuzi ndio wangekata rufaa CAS na hivyo watalazimika kuanza upya mchakato kwa kufuata utaratibu huo

Tayari Bodi ya Ligi (TPLB) imetangaza kuendelea na maandalizi ya mechi za mwisho wa msmu pamoja na maboresho ya ratiba ikiwa ni pamoja na kuupangia tarehe mchezo namba 184

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’