Newcastle wanamtaka mshambuliaji wa Brentford na Cameroon Bryan Mbeumo, mwenye umri wa miaka 25, lakini wana wasiwasi kuhusu ada yake ya uhamisho ya Β£60m. (Telegraph)
Newcastle pia hawatakuwa na nia ya kumfuatilia kwa muda mrefu beki wa kati wa Bournemouth Dean Huijsen, mwenye umri wa miaka 20, baada ya kujifunza kutokana na juhudi za mwaka jana za kushindwa kumsaini beki wa England Marc..... download Xtra 90 App



