Wakati Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka nchini, ikisema imeanza uchunguzi kwa waamuzi waliochezesha mechi ya Simba na Mashujaa, iliyogeuka gumzo, wadau mbalimbali wa soka wakiwamo wachezaji wa zamani wameibuka na kusema kinachofanyika sasa ni aibu kwa soka la Tanzania.
Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, Nassor Hamduni alinukuliwa jana na Mwanaspoti akisema..... download Xtra 90 App



