Local,Normal News,Simba, JKT

Matola aihofia JKT Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 May 2025
Matola aihofia JKT Tanzania

Kocha Msaidizi wa Simba Selemani Matola amesema ratiba ni ngumu lakini wako tayari kukabiliana na kila changamoto inayokuja mbele yao ili kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo

Leo Jumatatu, Simba itakuwa dimbani pale Isamuhiyo, Mbweni jijini Dar es salaam kuikabili JKT Tanzania katika mechi nyingine ngumu ya ligi kuu

Ni siku tatu tu zimepita tangu Simba ikabiliane na Mashujaa Fc katika mchezo ambao Simba iliibuka na ushindi katika dakika za lala salama

Matola amesema wanatambua mechi dhidi ya JKT Tanzania haitakuwa nyepesi lakini wana wajibu wa kudhihirisha ukubwa wa klabu ya Simba kwa kushinda mechi ngumu

"Tunaifahamu vyema JKT Tanzania sio timu nyepesi kwa sababu ina wachezaji wengi wenye uzoefu wa ligi kuu"

"Ni kweli ratiba ni ngumu, kucheza kila baada ya siku tatu sio jambo jepesi kwa wachezaji lakini sisi kama Simba ni timu kubwa, tuko tayari kukabiliana na changamoto yoyote inayokuja mbele yetu," alisema Matola

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
3m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
32m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’