Kocha Msaidizi wa Simba Selemani Matola amesema ratiba ni ngumu lakini wako tayari kukabiliana na kila changamoto inayokuja mbele yao ili kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo
Leo Jumatatu, Simba itakuwa dimbani pale Isamuhiyo, Mbweni jijini Dar es salaam kuikabili JKT Tanzania katika mechi nyingine ngumu ya ligi kuu
Ni siku tatu tu zimepita tangu Simba ikabiliane na Mashujaa Fc..... download Xtra 90 App



