Local,Normal News,Simba, JKT

Simba yaichapa JKT Tanzania 1-0

Joel JJ By Joel JJ
5 May 2025
Simba yaichapa JKT Tanzania 1-0

Simba imeendelea 'kutafuna' viporo vyake leo ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliopigwa uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo

Bao pekee la ushindi kwa upande wa Simba lilifungwa na Fabrice Ngoma akimalizia krosi ya Steven Mukwala katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza

Ilikuwa mechi nzuri yenye ushindani, Simba ikitengeneza nafasi zaidi lakini umakini wa mlinda lango wa JKT Tanzania ilikuwa changamoto kwa Mnyama kufunga mabao zaidi

Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe alama 63 ikiwa na mechi nyingine mbili za viporo mkononi dhidi ya Pamba Jiji utapigwa May 08 katika uwanja wa KMC Complex kisha kusafiri mkoani Tabora kuikabili KMC May 11

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE →
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE →
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE →
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE →
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE →
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE →
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE →