Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Ngorongoro Heroes yapoteza mechi zote Afcon U20

Joel JJ By Joel JJ
β€’
10 May 2025
Ngorongoro Heroes yapoteza mechi zote Afcon U20

Sio tu kutolewa kwenye mashindano ikiwa katika hatua ya makundi, Ngorongoro Heroes haijafunga bao lolote kwenye mashindano ya Afcon U20 yanayoendelea huko Misri

Ngorongoro Heroes imecheza mechi nne na kupoteza zote. Mechi zote imefungwa bao 1-0 dhidi ya Afrika Kusini, Sierra Leone, Zambia na Misri

Imemaliza kundi A ikishika mkia bila kuwa na pointi yeyote. Huku Afrika kusini ikiongoza kwa pointi 7, ikifuata Sierra Leone kwa pointi 7, Misri 7 na Zambia ikiambulia pointi 6

Hii ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufuzu kwa michuano hiyo ngazi ya vijana umri chini ya miaka 20

Imewahi kufuzu pia kwa michuano ya U17

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’