Kocha Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema matokeo mabaya iliyopata timu hiyo katika mechi za hivi karibuni za Ligi Kuu Bara ni moja ya sababu za kuwarejesha haraka kambini wachezaji ili kujiandaa na mechi tatu za kufungia msimu zitakazoamua hatma yao ya CAF.
Azam, iliyongโolewa mapema katika Ligi ya Mabingwa Afrika iliyoshiriki msimu huu ikiwa ni mara yake ya pili baada ya kuicheza..... download Xtra 90 App



