Mabao mawili ya Steven Mukwala yametosha kuihakikishia ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya KMC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa KMC Complex
Ulikuwa mchezo wa nne wa kiporo kwa Simba ikikamilisha ratiba ngumu ndani ya siku 10 na kukusanya alama 12, ikifunga mabao 10 na kuruhusu mabao 3
Mnyama alilazimika kutoka nyuma kupata ushindi huo baada ya KMC kutangulia kufunga..... download Xtra 90 App



