Kocha Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema wamepata muda wa kutosha kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo Fc ambao utapigwa kesho Jumanne katika uwanja wa KMC Complex
Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo, Hamdi alisema umepita muda mrefu hawajacheza mechi ya ligi kuu hivyo malengo ni kuendeleza pale walipoishia
Hamdi amesema anafahamu Namungo Fc wanahitaji..... download Xtra 90 App



