Simba yatua Casablanca

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th May 2025


Simba yatua Casablanca

Kikosi cha Simba kimewasili salama jiji la Casablanca tayari kwa mchezo wa mkondo wa kwanza fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC) dhidi ya RS Berkane

Mchezo huo utapigwa Jumamosi, May 17 katika uwanja wa Manispaa ya Berkane, huko katika mji wa Berkane


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.