Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeagiza mchezo wa mkondo wa pili fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC) kati ya Simba dhidi ya RS Berkane kupigwa uwanja wa New Amaan Complex badala ya uwanja wa Benjamin Mkapa
Changamoto ya mvua ndio inayotajwa kuwa sababu ya maamuzi hayo ya CAF baada ya kufanyika ukaguzi wa dimba la Benjamin Mkapa hasa katika kipindi cha..... download Xtra 90 App



