Local,Normal News,Simba, Berkane

Simba vs RS Berkane yapelekwa uwanja wa Amaan

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 May 2025
Simba vs RS Berkane yapelekwa uwanja wa Amaan

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeagiza mchezo wa mkondo wa pili fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC) kati ya Simba dhidi ya RS Berkane kupigwa uwanja wa New Amaan Complex badala ya uwanja wa Benjamin Mkapa

Changamoto ya mvua ndio inayotajwa kuwa sababu ya maamuzi hayo ya CAF baada ya kufanyika ukaguzi wa dimba la Benjamin Mkapa hasa katika kipindi cha mvua

Simba ilishaanza maandalizi kuelekea mchezo huo katika dimba la Mkapa ambapo hata mauzo ya tiketi tayari yalishaanza

Jitihada zinaendelea kwa uongozi wa Simba, TFF na Serikali ambao ndio wamiliki wa dimba la Mkapa kuishawishi CAF ili mchezo huo upigwe kwa Mkapa

Kuna maboresho makubwa yamefanyika tangu ulipofungwa baada ya mchezo dhidi ya Al Masry na CAF wenyewe wlijiridhisha unaweza kutumika

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
3h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
4h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
5h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
6h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
6h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’