Mkufunzi wa Simba Fadlu Davids amesema kikosi chake kiko tayari kwa mchezo wa mkondo wa kwanza fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC) dhidi ya RS Berkane ambao utapigwa Jumamosi, May 17 katika uwanja wa Manispaa ya Berkane
Akizungumza katika Mkutano wa mechi hiyo, Fadlu amesema licha ya kikosi chake kusheheni vijana wengi wadogo ambao hawana uzoefu mkubwa na michuano hiyo, wamejipanga..... download Xtra 90 App



