Jana ilikuwa siku ya hisia kali kwa mashabiki wa Yanga SC β si tu kwa sababu ya ushindi mzuri wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika nusu fainali ya Kombe la CRDB, bali pia kwa heshima ya kipekee iliyotolewa kwa kiungo mshambuliaji Stephane Aziz Ki.
Kupitia kitambaa cha unahodha alichovishwa, mashabiki na timu walionesha wazi kuwa huenda huu ukawa ulikuwa mchezo wake wa mwisho ndani..... download Xtra 90 App



