International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumanne May 20 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 May 2025
Tetesi za usajili Ulaya, Jumanne May 20 2025

Mshambuliaji wa Wolves Matheus Cunha anatarajiwa kujiunga na Manchester United baada ya msimu kukamilika wikendi hii huku klabu hiyo ya soka ya England iitarajiwa kuanzisha kipengele cha kutolewa kwa mchezaji huyo wa Brazil mwenye umri wa miaka 25 kwa pauni milioni 62.5. (Sky Sports)

Manchester United pia imefanya mazungumzo ya ana kwa ana na mshambuliaji wa Ipswich Town na England Liam Delap, 22. (The Athletic)

Beki wa Bayer Leverkusen Jeremie Frimpong, 24, amekamilisha vipimo vyake vya afya katika klabu ya Liverpool siku ya Jumatatu. Tetesi zinasema mchezaji huyo wa Uholanzi alisafiri Uingereza siku ya Jumapili kufanikisha mchakato huo. (Sky Sports)

Aston Villa ina nia ya kumsajili mlinda lango wa Liverpool na Ireland Caoimhin Kelleher, 26, huku MArgentina Emiliano Martinez, 32, akitarajiwa kuondoka Villa msimu wa kiangazi. (Sun)

Bayer Leverkusen imekadiria thamani ya kiungo wao wa kati wa Ujerumani Florian Wirtz, 22, kuwa pauni milioni 126 huku Bayern Munich na Liverpool wakimtaka baada ya Manchester City kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili. (The Times - usajili unahitajika)

Mkufunzi wa Sheffield Wednesday wa Ujerumani Danny Rohl, 36, anawania nafasi katika klabu ya Southampton. Muingereza Will Still, 32, pia yuko katika kinyang'anyiro hicho. (Sky Sports)

Marseille haina nia ya kumuuza mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Mason Greenwood, 23, lakini huenda ikalazimika kufany ahivyo kutokana na "hali ya kiuchumi". (RMC Sport)

Sunderland ina hamu ya kumsajili mlinzi wa Montpellier wa Mali Modibo Sagnan, 26 - endapo itashinda kupanda Ligi ya Premia kupitia mechi za mtoano au kusalia kwenye Ubingwa. (Sunderland Echo)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’