Jumamosi hii ya Mei 24, macho ya wapenda soka barani Afrika yameelekezwa Pretoria, Afrika Kusini, ambako dimba la Loftus Versfeld litakuwa jukwaa la mchezo wa kwanza wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya wenyeji Mamelodi Sundowns na wageni kutoka Misri, Pyramids FC.
Hii ni zaidi ya mechi β ni mwendelezo wa ushindani mkali wa kisoka kati ya nchi..... download Xtra 90 App



