Nahodha wa Manchester United Bruno Fernandes atapewa muda hadi wiki ijayo kuamua kama anataka kuondoka katika klabu hiyo, huku Al Hilal wakipanga kutoa takriban Β£100m kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno, 30, ambaye angelipwa takriban Β£65m kwa msimu nchini Saudi Arabia. (Mirror)
Bayern Munich wanaweza kuanzisha mpango wa kumnunua Fernandes ingawa ada ya uhamisho ambayo United..... download Xtra 90 App



