Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema licha ya ubora wa RS Berkane wamejipanga kutumia vyema uwanja wa nyumbani na kushinda mchezo wa mkondo wa pili fainali ya kombe la Shirikisho ambao utapigwa kesho Jumapili katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar
Akizungumza katika mkutano na wanahabari kuelekea mchezo huo, Fadlu alisema dhamira ya Simba ni kuona wanatwaa taji la Shirikisho..... download Xtra 90 App



