Wakati msimu wa ligi kuu ukitarajiwa kufika tamati mwezi ujao, tayari michakato ya usajili inaendelea kwa nyota ambayo mikataba yao inaelekea ukingoni
Taarifa kutoka Yanga ni kuwa klabu hiyo ilianza mapema michakato ya kuhuisha mikataba ya wachezaji wake ambayo inamalizika mwishoni mwa msimu
Mpaka sasa wachezaji kama Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli, Dickson Job tayari wameramba..... download Xtra 90 App



