Kocha Msaidizi wa Simba Selemani Matola amesema wanahitaji kushinda mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida Black Stars hapo kesho ili kuhkikisha wanasalia katika mbio za ubingwa msimu huu
Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo, Matola alisema baada ya kikosi kurejea kutoka Zanzibar, moja kwa moja waliingia kambini kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya mchezo huo





