Leo Jumatano, Mei 28, 2025, klabu ya Simba SC itashuka dimbani katika uwanja wa KMC Complex kuikabili Singida Black Stars kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC β mechi ya kiporo ambayo huenda ikaamua mwelekeo wa Simba katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu.
Mchezo huu ni muhimu kwa Simba kushinda ili kusalia katika mbio za ubingwa wa ligi kuu msimu..... download Xtra 90 App



