Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Morocco atangaza kikosi cha kuikabili Afrika Kusini

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 May 2025
Morocco atangaza kikosi cha kuikabili Afrika Kusini

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Hemed Morocco ametaja kikosi cha timu ya Taifa kitakachoelekea Afrika Kusini kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Bafana Bafana mchezo ambao uko katika kalenda ya FIFA

Aidha Stars imepata mwaliko wa kushiriki michuano ya COSAFA inayohusisha Mataifa ya kusini mwa Afrika

Akizungumza wakati anatangaza kikosi hicho, Morocco alibainisha kuwa baada ya mchezo dhidi ya Afrika Kusini Juni 06, wachezaji wanaozitumikia klabu za Simba na Yanga wataruhusiwa kurejea nchini kujiandaa na mchezo wa watani wa jadi utakaopigwa Juni 15 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Katika kikosi kilichotangazwa, Morocco amewajumuisha wachezaji 7 wa klabu ya Simba huku watatu wakitokea klabu ya Yanga

Wachezaji wa Simba ni Ali Salim, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein, Abdulrazak Hamza, Yusuph Kagoma, Valentino Mashaka na Kibu Denis

Mabeki Dickson Job na Ibrahim Bacca na kiungo mshambuliaji Shekhan Khamis wao wametokea klabu ya Yanga

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
45m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’