Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Hemed Morocco ametaja kikosi cha timu ya Taifa kitakachoelekea Afrika Kusini kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Bafana Bafana mchezo ambao uko katika kalenda ya FIFA
Aidha Stars imepata mwaliko wa kushiriki michuano ya COSAFA inayohusisha Mataifa ya kusini mwa Afrika
Akizungumza wakati anatangaza kikosi hicho, Morocco alibainisha..... download Xtra 90 App



