Yanga imeendelea kushikilia msimamo wake wa kutocheza mechi namba 184 ligi kuu ya NBC dhidi ya Simba hadi pale malalamiko yao yatakapofanyiwa kazi na mamlaka za soka nchini
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na mabingwa hao wa soka Tanzania Bara, mechi zilizobaki kuhitimisha msimu ni tatu tu
Juni 18 itacheza dhidi ya Tanzania Prisons (Ligi Kuu), Juni 22 dhidi ya Dodoma Jiji (Ligi Kuu)..... download Xtra 90 App



