Local,Transfer News,Yanga

Job kuongeza mkataba Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Jun 2025
Job kuongeza mkataba Yanga

Wiki iliyopita, klabu ya Yanga SC ilanza rasmi mazungumzo ya mkataba mpya na nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job, ambaye mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu.

Katika kikao kilichofanyika kati ya viongozi wa klabu hiyo na wawakilishi wa Job, imeelezwa kuwa makubaliano tayari yamefikiwa na wakati wowote Job ataongeza mkataba ambao utamuweka Jangwani hadi mwaka 2027.

Dickson Job anachukuliwa kama mmoja wa wachezaji wa msingi kabisa katika safu ya ulinzi ya Yanga, na mchango wake umeonekana wazi katika mafanikio ya timu hiyo msimu huu.

Yanga wamathibitisha bado wanahitaji huduma ya Job na hakuna shaka ataendelea kuwatumikia Wananchi

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
43m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’