Wiki iliyopita, klabu ya Yanga SC ilanza rasmi mazungumzo ya mkataba mpya na nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job, ambaye mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu.
Katika kikao kilichofanyika kati ya viongozi wa klabu hiyo na wawakilishi wa Job, imeelezwa kuwa makubaliano tayari yamefikiwa na wakati wowote Job ataongeza..... download Xtra 90 App



