Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa vyanzo vya kuaminika, ni kwamba Ndugu George Mayawa, ambaye alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi maarufu kama Kamati ya Masaa 72, amejiuzulu
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Mayawa amechukua hatua hiyo baada ya kutoridhishwa kwake na mwenendo wa sasa wa uendeshaji wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara.





