Local,Normal News,Simba, Yanga

Simba kuanza mawindo ya Kariakoo Derby Alhamisi

Joel JJ By Joel JJ
4 Jun 2025
Simba kuanza mawindo ya Kariakoo Derby Alhamisi

Kikosi cha Simba kesho Alhamisi, Juni 05 kitaingia kambini kuanza maandalizi ya mechi tatu zilizobaki kuhitimisha msimu wa ligi kuu ya NBC 2024/25

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali amesema wachezaji 9 ambao wameitwa timu za Taifa tayari wamejiunga na mataifa yao hivyo program za mazoezi zitawahusu wachezaji ambao hawana majukumu ya timu za Taifa

"Kikosi kinaingia kambini kesho Alhamisi kuanza maandalizi ya mechi tatu zilizobaki kuhitimisha msimu huu"

"Wachezaji ambao wameitwa katika timu za Taifa tayari wamejiunga na Mataifa yao hivyo Kocha Fadlu Davids na benchi lake la ufundi wataanza mazoezi na wachezaji waliobaki"

"Tunafahamu mchezo unaofuata ni dhidi ya Yanga, Juni 15 bado hatujataarifiwa mchezo huo utachezwa katika uwanjani gani lakini niseme tu maandalizi ya kuelekea mchezo huo tumeyaanza mapema," alisema Ahmed

Simba imebakisha mechi tatu dhidi ya Yanga (Juni 15), Kengold (Juni 18) na Kagera Sugar (Juni 22)

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
3h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
4h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
6h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
6h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
7h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
7h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
7h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
8h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
8h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
10h ago
READ MORE →