Vurugu za mashabiki wa Simba zilizojiri dimba la KMC Complex katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida Black Stars, zimeiponza Simba baada ya kupigwa faini ya Tsh Milioni 5 na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa ligi ya Bodi ya Ligi Kuu
Aidha Kamati hiyo pia imemfungia mechi tatu kocha wa viungo wa Simba Riedoh Berdien na kutozwa faini ya Tsh Milioni 1 kwa kocha la kuanzisha vurugu..... download Xtra 90 App



