Afisa Habari wa Bodi ya Ligi (TPLB) Karim Boimanda amesema maandalizi kuelekea mchezo wa ligi kuu namba 184 kati ya Yanga dhidi ya Simba uliopangwa kupigwa Juni 15 katika uwanja wa Benjamin Mkapa yanaendelea vizuri
Boimanda amesema wadau wote wanaohusika na mchezo huo wanaendele na maandalizi huku Bodi ikihakikisha taratibu zote za msingi ili kufanikisha mchezo huo..... download Xtra 90 App



