Klabu ya Yanga imeweka bayana yale yaliyozungumzwa baina yake na Bodi ya ligi katika kikao kilichofanyika mapema leo
Akizungumza na wanahabari Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema Mtendaji wa Bodi Almas Kasongo amepotosha baadhi ya masuala yaliyojadiriwa katika kikao hicho
Kamwe amesema ni kweli Yanga imetaka mambo manne yafanyiwe kazi kabla ya kukubali kucheza..... download Xtra 90 App



