Mchezo namba 184 ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao awali ulipangwa kupigwa Juni 15, umesogezwa mbele na sasa utapigwa Juni 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dk. Samia Suluhu Hassan alikutana na viongozi wa klabu za Yanga na Simba Ikulu ya Chamwino, Dodoma





