Kasongo asimamishwa, Mnguto ajiuzulu

Joel JJ By Joel JJ β€’ 13th June 2025


Kasongo asimamishwa, Mnguto ajiuzulu

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limethibitisha kujiuzulu kwa Mweenyekiti wa Bodi ya ligi Steven Mnguto

Taarifa iliyotolewa TFF jioni ya Ijumaa, imebainisha kuwa Mnguto amewasilisha barua ya kujiuzulu nafasi ya yake

Katika taarifa hiyo pia imethibitishwa kuwa Rais wa TFF Wallace Karia amemsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Almas Kasongo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.